Mjue Mwandishi wa habari pekee na Mtangazaji wa radio Times Selemani Semunyu aliyejitokeza kuwania nafasi ya kamisheni ya Watoto katika Shirikisho la mpira wa kikapu nchini TBF
jamaa ni mdau wa mpira huo na mchezaji aliyewahi kucheza kikapu katika timu ya Bees ya Tabora,timu ya Shule ya Sekondari ya Uyui, Young Worrios ya Morogoro na Shule ya Sekondari Kigurunyembe ya mkoani humo.
hamasa katika kikapu kuendeleza watoto na kuibua vipaji ndio mtazamo na malengo yake ni wakati sasa wa kuchagua viongozi wa ukweli watakao leta tija katika kikapu hasa damu mpya
jamaa ni mdau wa mpira huo na mchezaji aliyewahi kucheza kikapu katika timu ya Bees ya Tabora,timu ya Shule ya Sekondari ya Uyui, Young Worrios ya Morogoro na Shule ya Sekondari Kigurunyembe ya mkoani humo.
hamasa katika kikapu kuendeleza watoto na kuibua vipaji ndio mtazamo na malengo yake ni wakati sasa wa kuchagua viongozi wa ukweli watakao leta tija katika kikapu hasa damu mpya





0 comments:
Post a Comment