Mwanamuziki Youssou Ndour anayeheshimika sana duniani kutoka nchini Senegal akiimba mbele ya mashabiki lukuki waliohudhuria katika onyesho lake pamoja na mwanamuziki wa kike kutoka Benin Angelique Kidjo wakati wa tamasha la muziki la taasisi ya Mohamed Mo lililofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam usiku wa kuakia leo onyesho hilo limekuwa ni changamoto kwa wanamuziki wa hapa nyumbani na afrika pia kwani mwanamuziki huyu amekuwa akitumia vifaa vya kiafrika kama vile Talkingdrum, percussion (ngoma za asili) pamoja na vifaa vingine vya kisasa ambavyo vimekuwa vikitengeneza muziki wenye ladha na midundo halisi ya kiafrika inayokubalika sehemu yoyote duniani na ndiyo maana amekuwa akipata heshima kubwa duniani na hii inadhihirisha kuwa kumbe kuna muziki mwingine mzuri zaidi hata ya muziki wa bolingo kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo KAZI YA HESHIMA YA MWANAMUZIKI YOUSSOUR NDOUR!!
Posted by
ADMIN
Mwanamuziki Youssou Ndour anayeheshimika sana duniani kutoka nchini Senegal akiimba mbele ya mashabiki lukuki waliohudhuria katika onyesho lake pamoja na mwanamuziki wa kike kutoka Benin Angelique Kidjo wakati wa tamasha la muziki la taasisi ya Mohamed Mo lililofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam usiku wa kuakia leo onyesho hilo limekuwa ni changamoto kwa wanamuziki wa hapa nyumbani na afrika pia kwani mwanamuziki huyu amekuwa akitumia vifaa vya kiafrika kama vile Talkingdrum, percussion (ngoma za asili) pamoja na vifaa vingine vya kisasa ambavyo vimekuwa vikitengeneza muziki wenye ladha na midundo halisi ya kiafrika inayokubalika sehemu yoyote duniani na ndiyo maana amekuwa akipata heshima kubwa duniani na hii inadhihirisha kuwa kumbe kuna muziki mwingine mzuri zaidi hata ya muziki wa bolingo kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment