WATEJA WA VODACOM KUONGEA BURE KUPITIA CHEKA TIME!!

Mkuu wa kitengo cha udhamini wa Vodacom George Rwehumbiza, mkuu wa kitengo cha huduma na bidhaa Boniface Emmanuel, mkuu wa mawasiliano Vodacom Mwamvita Makamba na Ofisa bidhaa wa Vodacom Elihuruma Ngowi wakiwa wameshikilia vipeperushi katika uzinduzi wa huduma ya CHEKA TIME ambapo mteja wa Vodacom atakatwa shilingi 500 na kuweza kupiga simu dakika 60.
Ili mteja aweze kupata huduma hiyo atalazimika kujiunga kwa kupiga *147# na mteja anaweza kujisajili mara nyingi ili aweze kupata muda wa maengezi kadri atakavyo.
Huduma hii imezinduliwa jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super D)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment