Kengele amesema wamekubaliana kuwa na urafiki na chama cha Baiskeli mkoa wa Tanga (CHABATA)ambapo watakuwa na utaratibu wa kutembeleana na kuandaa mashindano ya mbio za Baiskeli kwa pamoja, wengine waliofanikiwa kumaliza mbio hizo ni waendesha baiskeli Alen Nyanginywa,Bashir Bakari .na Ally Bakari.
WALIOENDA KWA BAISKELI TANGA WAREJEA TENA DAR!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment