Mgeni rasmi katika shindano hilo alikuwa Mheshimiwa Naibu Waziri wa ushirikiano Afrika mashariki,Mohamed Aboud ambaye aliwakabidhi washindi zawadi zao hapohapo namba moja alipewa fedha taslim 600.000 huku aliechukua nafasi ya pili akiondoka na kitita cha 400.000, na mshindi wa tatu shilingi 300.000, mshindi wa nne na wa tano walipewa shilingi 150.000 kila mmoja na warembo wote walipewa zawadi zao isipokuwa mrembo namba tano Emakulata Alphonce kutoka kagera ambaye alipatwa na mshtuko na kupoteza fahamu alipotajwa na jaji mkuu kwamba ameshika namba tano,hivyo hakuweza kufika mbele kwani alikuwa amepelekwa hospitali ya rufaa bugando,tunamshukuru mungu kwani kwa sasa anaendelea vizuri.
MSHIRIKI MISS LAKE ZONE AZINDUKIA HOSPITALI YA BUGANDO
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment