WAREMBO MISS VYUO VIKUU WAENDELEA KUJIFUA!!

Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la Miss Higherlearning litakalofanyika Julai 3 kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es alaam wakimsikiliza mwalimu wao Frolence Jasephat kulia, wakati wa mazoezi yao yanayoendelea kwenye Club ya Billicanas hii ilikuwa jana jioni.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

1 comments:

  1. wa pili kutoka kushoto ni wa ukweli

Post a Comment