WATAKAOSHIRIKI MBIO ZA VODACOM DAR ES ALAAM MARATHON KUPIMWA AFYA JUNI 20!!

Meneja wa promosheni na matukio wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (katikati)akiongea na wanahabari juu ya upimaji wa afya katika maandalizi ya kushiriki mbio za Vodacom zitakazofanyika,Tarehe 20 mwezi ujao wanamichezo watapimwa Afya zao na Tarehe 21 wananchi wa kawaida wanaopenda kushiriki mbio hizo watapimwa Afya zao.(kushoto)katibu wa Afya Club Dr Deogratus Pissa,(kulia)Mwenyekiti wa chama cha riadha Dares Salaam Christin Malundi.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment