KIBONDE AISHANGAA CHAMPAIGN ALIYOIFUNGUA MWEYEWE, PATAMU HAPO MDAU!!

Mtangazaji wa Radio Clouds Fm Efraim Kibonde mwenye vituko vya kuigiza sauti na vichekesho anayetangaza katika kipindi cha (Jahazi) akiishangaa Champaign aliyokuwa ameifungua mwenyewe katika moja ya sherehe ya harusi aliyokuwa mwenyekiti wa kamati ya maandalizi , huku wenzie wakimuangalia, kama unavyomuona mdau hapa akiitazama jinsi ilivyokuwa ikifoka kwa kurusha povu juu, Champaign ni kinywaji kinachotumiwa sana katika sherehe mbalimbali Duniani kote na kilivumbuliwa huko Ufaransa miaka ya 1700 na ushee hivi.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment