Zain Afrika Challenge yaanza!!


Meneja Masoko (Kitengo cha Wateja), Ellen Lupilli (kushoto) akifafanua
jambo kwa waandishi wa habari, Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza
kuanza kwa mchuano wa kitaaluma unaoshirikisha wanafunzi wa vyuo vikuu
Afrika wa Zain Afrika Challenge. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Zain
Tanzania, Beatrice Mallya.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment