MWANAUME MKALI ZAIDI BONGO 2009 AMEPATIKANA HAPA!!

Mpambano wa kumtafuta mwanaume mkali zaidi Bongo 009 ‘The mosthandsome man Tanzania" ulifanyika juzi katika Hoteli ya New Africa katikati ya Jiji la Dar es Salaam ambapo kijana Khalid Mohamed amliibuka kidedea kati ya vijana 11 waliokuwa wakichuana. Kwa maana hiyo jamaa atakamata Dola 1000 na kufanyiwa Shoping katika maduka ya Zizzou Fashion. Shindano hilo liliandaliwa na Angels Entertainment na kudhaminiwa na British Council, C2C Television ‘Mtukwao’, I&R Identity, Ijumba Enterprises, Wapi na Michuzi Blog. NA HIVINDIVYO WANAUME WA SHOKA WALIVYOCHUANA:










You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment