WALIOKUWA MAOFISA WA BENKI KUU WAFIKISHWA MAHAKAMANI!!

Aliyekuwa mkuu wa utumishi wa Benki kuu ya Tanzania Joachim Liyumba kulia na aliyekuwa Meneja wa Mradi wa Benki hiyo Dawson Kweka wakiwa kizimbani leo mara baada ya kufikishwa mahakamani hapo kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili Picha kwa hisani www.Michuzi.bogspot.com

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

1 comments:

  1. I would say that this is a nicely designed bloG.

Post a Comment