PATA MATUKIO MBALIMBALI YA JANA JIJINI!!

Katibu Mtendaji wa Mfuko wa Utamaduni Tanzania Rose Sayore (kulia) pamoja na wakazi wengine wa Regent Estate (ambao majina yao hayakupatikana) wakijisomea vitabu katika maktaba ya Taasisi ya SOMA wakati wa uzinduzi wa Jarida la SOMA uliofanyika hivi karibuni katika ofisi zao zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.


Kijana ambaye jina lake halikuweza kufahamika akiwa amejipumzisha kwenye mtaro ulioko barabara ya Morogoro karibu na kituo cha daladala Ubungo jana jioni jijini Dar es salaam kitendo ambacho ni hatari kwa afya na usalama wa maisha yake. Picha na Aron Msigwa- MAELEZO.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment