NYOSHI EL. SADAAT AZUNGUMZIA NA KULAANI WANAMUZIKI WANAOHAMAHAMA BENDI!!

Rais wa Bendi ya FM Academia Nyoshi Al Sadaat akiongea na waandishi wa Habari jana katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari uliopo jijini Dar es Salaam kuhusu athari za wanamuziki kuhamahama katika Bendi mbalimbalimali hapa Nchini. Kushoto ni Meneja wa Bendi hiyo Mujibu Khamisi.


Mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia Kalidjo Mwana Kitokolo akiimba wimbo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano baina yao na waandishi hao uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari uliopo jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni rais wa Bendi hiyo Nyoshi Al Sadaat akimpigia makofi ili kumpa hamasa zaidi.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment