JAQUILINE MOSHA ASHINDA TUZO YA PMTCT MEDIA COMPETITION!!

Mwandishi wa habari kutoka Gazei la Guardian Jaquiline Mosha akipokea tuzo ya Cheti na Shilingi laki tatu kutoka kwa naibu mwakilishi wa UNICEF hapa nchini Ms. Hasmik Egien Were alizoshinda katika shindano la makala za Media Campain on PMTCT Media Competition makala zilizoeleza kupiga vita na kuelimisha maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto waandishi wengine 17 kutoka vyombo mbalimbali vya habari pia walikabidhiwa zawadi zao katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment