Zain Caribbean Beat kumbukumbu ya Luck Dube!!

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyeshiriki mashindano ya
Bongo Star Search 2007/2008, Malfred Mwasote (kulia) akiimba na mmoja wa
mashabiki wakati wa tamasha la Caribbean Beat lililoandaliwa kwa ajili ya
kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo cha nyota wa reggae wa Afrika Kusini,
Lucky Dube, Dar es Salaam juzi usiku, na kudhaminiwa na kampuni ya simu za
mkononi ya Zain.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment