DJ FETTY AMDATISHA EVE AMWAGA MAUNO KINOMA!!

Duh. mtu mzima kutoka FULLSHANGWE sikubaki nyuma nikaamua kujimegea Pande na mimi ili nisipitwe na mambo jamani!
manake matukio kama haya hutokea mara mojamoja wadau.
Mboni kulia akapata nafasi ya kupozi mbele ya Camera ya FULLSHANGWE na mwanamuziki Eve.

Mtu mzima Zizzou Fashion kulia Godwin Gondwe mtangazaji makini wa Radio One na rafiki yake Arthur kutoka Uganda nao hawakukosa katika Party hiyo.

Jo Makini,Elihuruma Ngowi a Vodacom, Adam Mchomvu wa Radio Clouds nao wakapozi mbele ya Camera yetu.

Mzuka wampanda Eve aanza kumwaga mauno na ML Chriss mtangazaji wa Choice Fm.

Eve akiwa ameshika Mic akiongea na mashabiki na kuapa salaam kushoto ni ML Chriss wa Radio Choice Fm.

Fat Joe akiwa na Eve huku mashabiki mbalimbali wakiwapa hi!

Dj Fetty wa Radio Clouds akaanza kupandisha mzuka wa Eve.

Mashabili mbalimbali wakimpiga picha Fat Joe nikiwemo mzee wa FULLSHANGWE kwa mbali.

Fat Joe na Eve wakipiga story wakati wa Meet and Greet Party iliyofanyika kwenye Hotel ya Kilimanjaro Kempiski usiku wa kuamkia leo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment