TANZANIA RED RIBBON FASHION GALLA ILIVYOFANA KATIKA PICHA PATA UHONDO!!

Hili ndilo jukwaa lililotumoka katika Onyesho la mavazi laTanzania Red Ribbon Fashion Galla lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick jana
Mgeni wa Heshima mama Rose Lyimo kutoka Tanzania Private Sector Foundation akizungumza katika Onyesho la Tanzania Red Ribbon Fashion Galla lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick jana ambalo pia lilichangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watoto yatima.

Danny Kiondo wa Kiondo Innternational Communication akipokea cheti kutoka kwa Mgeni wa heshima mama Rose Lyimo kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kufanikisha onyesho hilo

Maadam Litah Paulsen kushoto wa Benchmarck akipokea Cheti cha kutambua mchango wake katika kufanikisha Onyesho hilo kutoka kwa Mgeni wa heshima mama Rose Ryimo.

Master J. kushoto akipokea moja ya picha aliyoinunua kwa mnada kutoka kwa mgeni wa heshima Rose Ryimo kutoka Tanzania Private Sector Foundation



Vazi hili liliobuniwa na mbunifu Farouk Abdella (katikati) kutoka Zanzibar lilikuwa kivutio kwa wengi kutokana na jisi lilivyotengenezwa kwa ubunifu wa kutumia Condom za kiume.

Kuanzia kulia Master J. Danny Kiondo wa Kiondo International Communication, dada Iku, Dorris, dada Jaquiline

Mamaa wa mavazi Shear Illusion kushoto na Zuena nao wakapata picha Bomba.

Khadija Mwanamboka kushoto na Jokate Mwegelo ambaye alikuwa Mc wa onyesho hilo.

Wabunifu wa mavazi maarufu hapa nchini Ally Remtullah na Asia Idarus pia wakapozi kwenye Camera ya FULLSHANGWE kwa picha.

Mkurugenzi wa Masoko TBL kampuni ambayo pia ilidhamini onyesho hilo kupitia bia yake ya Redds Bw. David Minja kulia na Meneja wa kinywaji cha Redds Bw. George Kavishe wakifuatilia kwa makini onyesho hilo.

Watu mbalimbali walialikwa katika onyesho hilo ambalo liliandaliwa na taasisi binafsi ya Tanzania Mitindo House ili kuchangia watoto yatima.

Mark Band ikitumbuiza kwenye onyesho la Tanzania Red Ribbon Fashion Galla lililofanyika kwenye hoteli ya Movenpick jana.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment