MISS WORD YAPAMBA MOTO BONDENI!!


wakati shindano kubwa la Miss Word linakaribia kufanyika nchini Afrika kusini ambapo Tanzania tunawakilishwa na Miss Tanzania Nasreem tayari washindi wa Miss Word Beach Beauty wamepatikana na walitangazwa jana jijini Durban nchini humo washindi hao ni Tansey Coetzee kutoka Afrika kusini kushoto, Espinoza Anagabriela wa Mexco katikati na KseniaSukhinova wa Urusi kulia wakiwa wamepozi katika picha na mavazi ya Ufukweni.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment