ZAIN YACHEZESHA DROO YA MUDA WA MAONGEZI!

Balozi wa Zain Muhidin Issa Michuzi akibofya kitufe cha kompyuta katika droo ya muda wa maongezi iliyochezeshwa leo 23/10/2008 makao makuu ya kampuni hiyo kijitonyama anayefuata ni Abadalla Ahmed kutoka bodi ya kusimamia michezo ya bahati nasibu ya taifa katikati ni meneja masoko wa kampuni hiyo Kelvin Twisa na mwisho ni afisa uhusiano Celina Njuju picha kwa hisani ya Michuzi.blogspot.com.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment