YANGA YASHINDA BAO MOJA LAKINI YAPELEKWA MZOBEMZOBE!!!

Kivutio kikubwa kwa mashabiki katika mechi hiyo ya watani wa jadi Simba na Yanga ilikuwa Mechi ya utangulizi iliyochezwa kati ya timu ya Wabunge na timu ya Maalbino ambapo waheshimiwa wabunge waliisambaratisha timu ya maalbino magoli mawili kwa Nunge kama anavyoonekana mbunge wa Mkuranga na naibu waziri wa Nishati na Madini Mh. Adam Malima wa timu ya wabunge akimtoka mchezaji wa timu ya Maalbino Sefu Urati kwenda kumuona kipa.
Mashabiki wa Simba wakiipa tafu timu yao katika mpambano huo.

Mashabiki wa Yanga wakishangilia kwa nguvu katika mpambano huo ambao Yanga ilishinda kwa Goli moja lililofungwa na mashambuliaji Ben Mwalala akipokea pasi ya Mchezaji mahiri wa Yanga Boniface Ambani hii ni mara ya kwanza kwa Yanga kuifunga Simba baada ya kunyanyaswa kwa miaka nane

Kikosi cha Yanga.

Kikosi cha timu ya simba kilichopambana na Yanga Jana kwenye uwanja mkuu wa Taifa.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment