WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAANDAMANA!!

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari wakiandamana leo asubuhi kutoka mtaa wa Rugoda hadi ofisi za Wizara ya Habari na Utamaduni inayoongozwa na waziri George Mkuchika, huku wakiwa wamefunga midomo yao na plasta kupinga kitendo cha serikali kulifungia kwa muda wa miezi mitatu Gazeti la Mwanahalisi na kushinikiza serikali irekebishe sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 1976 ili kuleta uhuru kamili kwa vyombo vya habari.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment