TAIFA STARS NA HARAMBEE STARS NGUVU SAWA!!

Kiungo mshambuliaji wa Timu ya Harambee Stars ya Kenya, Macdonald Mariga (kushoto) akidhibitiwa na wachezaji wa Taifa Stars, Jerry Tegete (katikati) na Nurdin Bakari, wakati wa mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo jioni. Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Picha kwa hisani ya www.sufianimafoto.blog

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment