FIESTA JIPANGUSE 2010 ILIVYOFANA MJINI MUSOMA !!

Farid Kubanda a.k.a Ngosha akishusha mistari ya nguvu mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa Musoma waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Fiesta Jipanguse 2010 lililofanyika Musoma Hotel juzi ,ambapo mdhamini wake mkuu ni kampuni ya Bia ya Serengeti.
(Picha kwa hisani ya Michuzijunior wa Jiachie).

Wasanii Chege na Mh Temba wote kutoka kundi la Wanaume TMK wakikamua jukwaani,huku washabiki wao wakiweka mikono juu kuashiria kukunwa vyema na nyimbo zao.

Mmechisho safi kabisa wa Mfalme wa raha kamili

Mdau akiwa amepozi Wafamle wa raha kamili





You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment