Rais wa East Africa Speakers Bureau azungumzia siku ya wajasiliamali!!

Rais wa East Africa Speakers Bureau, Paul Mashauri (kushoto) akiongea wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu siku ya Wajasiliamali itakayofanyika Julai 20 katika Viwanja Vya Karimjee jijini Dar es Salaam chini ya Udhamini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania. Kulia ni Meneja Mauzo wa Zain Zedi Seleman.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment