MO akiwa na Viongozi wa Chuo cha Uhasibu akiongozwa na Mkuu wa Chuo Bw.Emmanuel Kingu(wa pili kulia) wakati wa kukagua Majengo ya Chuo hicho(Kushoto) Rais wa Chuo Bw.Evans Crispin(Kulia) Waziri Mkuu wa Chuo Bw.Mbaraka Ismail wakati alipotembelea chuo hicho na kujionea shughuli mbalimbali chuoni hapo mwishoni mwa wiki hii.
MO akimkabidhi cheti Waziri wa Wanawake na Maendeleo ya Jamii(TIASO) Mh.Fatuma Hamisi akipokea cheti cha Uongozi bora.







0 comments:
Post a Comment