WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA BUNGENI LEO!!

Waziri mkuu, Imzengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa Viti Maalum, Gaudentia Kabaka (katikati) na Mbunge wa Busanda , Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 14, 2010.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa , Kingunge Ngombale -Mwiru kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma,
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa Usalama Barabarani upande wa watu wenye ulemavu , Jutoram Kabatelle kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 14, 2010.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment