mkoani Dodoma leo ambapo zaidi ya watoto elfu mbili wa mkoa huo wamewakilisha watoto wenzao katika tamasha kubwa nchini Tanzania la kupongeza Bunge kwa kupitisha sheria ya kumlinda mtoto
wa Tanzania, Sheria hiyo imepitishwa mwaka jana 2009 na imeanza rasmi kutumika April 1 mwaka huu.. Katika maandamano yaliyopokelewa na Waziri mkuu Mizengo Pinda kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma . Picha zote na Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO.
wa Tanzania, Sheria hiyo imepitishwa mwaka jana 2009 na imeanza rasmi kutumika April 1 mwaka huu.. Katika maandamano yaliyopokelewa na Waziri mkuu Mizengo Pinda kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma . Picha zote na Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO.





0 comments:
Post a Comment