Picha na Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Mark Mwandosya na Mbunge wa Kibaha Vijijini Ibrahim Msabaha wakimsikiliza mkazi wa Kibaha Vijijini alipokuwa akitoa maelezo jana wakati Waziri Prof. Mwandosya alipofanya ziara ya kutembelea Miradi ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Soga -Kibaha ambapo pia alitembelea shule ya sekondari ya Rafsanjani na kuongea na wanafunzi wa shule hiyo wanafunzi hao walimsomea risala yao kuhusu kero ya maji shuleni hapo.
WAZIRI MWANDOSYA AKAGUA MIRADI YA MAJI KIBAHA!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment