MKOA WA DAR ES SALAAM WATANGAZA SIKU YA MAULID!!

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Alhaj Mussa Salum( Wa pili kushoto)akitangaza kwa Waandishi wa Habari kuhusu siku ya Maulid ambayo itakuwa siku ya mapumziko tarehe 27/02/2010 kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo mjini Dar es Salaam leo.
(Picha na Anna Itenda wa MAELEZO.)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment