(Picha na Mwanakombo Jumaa -MAELEZO).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Wakimataifa Bernard Membe (KUSHOTO) akiongea katika mkutano wa majadiliano baina ya wataalamu mbalimbali wa hapa nyumbani na wa nje jijini leo kuhusu uwezekano wa kuwashirikisha watanzania walioko nje kurudi na kuwekeza hapa nchini, Pichani mwingine ni Kiongozi wa shirika la kimataifa linaloshughulikia masula ya uhamiaji nchini (IOM- International Organizaion for Migration ) Mr.Par Liljert..
Baadhi ya wadau walioshiriki katika mkutano wa majadiliano ya wataalamu mbalimbali wa hapa na wa nje jijini leo wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe (hayupo Pichani ) wakati alipofungua mkutano wa majadiliano.
WAZIRI BERNAD MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI DAR. LEO!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment