(picha na Freddy Maro wa Ikulu)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia wananfunzi wa shule mpya ya Sekondari ya Masengwa katika wilaya ya Shinyanga wakifanya jaribio la kisayansi muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuifungua rasmi shule hiyo jana mchana.Shule hiyo imejengwa kwa ufadhili wa kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Barrick Gold inayomiliki mgodi wa Buzwagi mkoani Shinyanga.
Rais Kikwete azindua programmu ya Kilimo Kwanza Wilayani Maswa Mkoani Shinyanga!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment