(picha na Freddy Maro)
Mbunge wa Bariadi Mashariki John Momose Cheyo(kulia), Mbunge wa Kisesa Mh.Luhaga Mpina (kushoto pembeni ya Rais) pamoja na viongozi wengine wa vyama vya siasa na serikali wakishangilia mara baada ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete kufungua rasmi daraja la mto Simiyu lililopo katika mpaka wa wilaya za Meatu na Bariadi mkoani Shinyanga jana mchana.Wanne kushoto ni Mama Salma Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtwika maji Bi.Amina Ramadhani Mkazi wa kata ya Mwanuzi,wilayani Meatu, muda mfupi bada ya kuzindua mradi wa maji wa wilaya ya Meatu,mkoa wa Shinyanga.Kulia nia Waziri wa maji na umwagiliaji Profesa Mark Mwandosya na watatu kushoto ni Mama Salma Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani Bariadi jana mchana.
Rais Kikwete afungua daraja la Mto Simiyu na Kuzindua mradi wa maji wilayani Meatu!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment