Jumala ya timu 9 zitashiriki kutoka mikoa ya Dar es salaam , Arusha, Moshi Kilimanjaro na kutoka Zanzibar, timu hizo ni Magereza, TPDF, Dar Khalsa, Moshi Khalsa, Ngome Arusha Twigas, Kentucky, D.I. na Zanzibar
Mashindano hayo yanadhaminiwa na kampuni ya bima ya Phenex Assuranc ya jijini Dar es salaam ambapo kampuni hiyo imetoa shilingi milioni 5 kwa ajili ya matayarisho ya uwanja na vikombe pamoja na medali za dhahabu kwa timu zitakazoshinda kwenye michezo hiyo, mwingine anayeonekana kushoto kwenye picha ni Meneja mkuuu wa Phoenix Assurance of Tanzania Company Ltd Bw. S.C Wadhawan





0 comments:
Post a Comment