MATUKIO BUNGENI DODOMA WIKI HII!

Waziri wa Miundo Mbinu Dr. Shukuru Jumanne Kawambwa (kushoto) akibadlishana mawazo na Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM Zainabu Vulu (kulia) mjini Dodoma jana. ambapo Mkutano wa kumi na nane wa bunge la jamhuri ya Tanzania unaendelea.
(Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO-Dodoma)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment