Asia idarous alipotoa msaada kituo cha watoto yatima!

Mama mbunifu wa mavazi hapa bongo,Asia Idarous Hamsini toka Fabak Fashions jana mchana ametoa msaada wa vitu mbalimbali zikiwemo nguo,viatu na vifaa vya shule kwa kituo cha kulelea watoto yatima,kiitwacho New Life Orphans home kilichopo Kigogo jijini Dar,Mama Asia aliambatana na Mzee wa Libeneke wa Glogu ya Jamii Issa Michuzi pichani kulia wakiwa na watoto wa kituo hicho,ambao walishukuru sana kwa msaada huo.


AsiaIdarous akiwa pamoja na watoto kituoni hapo

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment