Elizabeth amesema anashukuru kwa kupata nafasi hiyo kwani amejifunza mambo mengi lakini pia anaweza kupata mafanikio mengine mengi kutokana na ushiriki wake katika shindano la Bigbrother Revolution na anaamini kwamba wasichana wengi watakuwa wamejifunza mengi kupitia kwake pia ameomba radhi kama kuna mashabiki aliwaudhi kwani katika maisha ya kila siku kwenye jumba hilo sio rahisi kumfurahisha kila mtu.
ELIZABETH GUPTA AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment