Bodi mpya ya 8 ya TAFIRI yazinduliwa leo jijini Dar!!

Mkurugenzi wa TAFIRI (katikati) Dr.Yohana Budeba akimueleza Waziri Wa maendeleo ya Mifugo na Uvuvi John Magufuli jinsi ya uhifadhi wa samaki kwenye kabati maaluum leo wakati wa uzinduzi wa Bodi mpya ya 8 ya TAFIRI..(picha na Mwanakombo Jumaa -Maelezo.)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi John Magufuli(kushoto) akimkabidhi zawadi mjumbe wa Bodi hiyo aliemaliza muda wake Ruth Msafiri (kulia) kaikati ni Mwenyekiti mpya wa BODI ya 8 ya TAFIRI Prof. Yunus Mgaya.
Waziri Wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ( Kulia) akisikiza wakati alipokuwa akipewa maelezo jinsi ya kuhifadhi wa samaki katika majokofu kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya TAFIRI Dr. Yohana Budeba (kati) leo katika makao makuu ya taasisi hiyo Kunduchi wakati wa uzinduzi wa Bodi ya 8 ya TAFIRI.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment