Wakizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Meeda ulioko Sinza jijini Dar es salaam wachezaji hao wamesema wamejiandaa vyema na wako tayari kwa mapambano yao katika mashindano huko Afrika Kusini.
Wachezaji wanaotarajiwa kuondoka kesho asubuhi kwenda nchini humo kwa michezo hiyo ni FeLix Atanas, Omary Akida, Godfrey Muhando, Ally Akber Akberali na Six Muhamed, katika mkutano huo leo wote kwa pamoja walishika bendera ya taifa kama ishara katika kutetea taifa lao la Tanzania watakapokuwa katika michezo hiyo.
Wachezaji wanaotarajiwa kuondoka kesho asubuhi kwenda nchini humo kwa michezo hiyo ni FeLix Atanas, Omary Akida, Godfrey Muhando, Ally Akber Akberali na Six Muhamed, katika mkutano huo leo wote kwa pamoja walishika bendera ya taifa kama ishara katika kutetea taifa lao la Tanzania watakapokuwa katika michezo hiyo.





1 comments:
Sio poll kaka, ni pool table..
Post a Comment