MSAIDIE EMA NA MUNGU ATAKUONGEZEA ZAIDI!!

Ema akiwa nje choo wanachotumia.
HAPA EMA ANAPELEKWA UANI NA KAKA YAKE
Mdau wetu haya ndio haswaa! mazin gira anayoishi kijana Emanuel Urio, Aliyezaliwa jijini
Mwanza akiwa na ulemavu wa mikono na miguu, Emanuel anaweza kujiendeleza na mambo mengi endapo atapata msaada kutoka kwako, Mdau wewe umempa nini Mungu kakuleta duniani bila kasoro yoyote! MSAIDIE EMA NA MUNGU ATAKUONGEZEA.Kitu ambacho Ema anachukia ni kukaa barabarani akiomba msaada,anapenda sana kusoma, kuchora, kuimba na mambo mengine mengi.Namba zake za simu ya mkononi ni,0757,839674
http://florasalon.blogspot.com/2009/08/mwacheni-mungu-aitwe-munguna-usimjaribu_5238.html#comments

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment