MABALOZI WAMTEMBELEA WAZIRI MARGARET SITTA!!

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe. Margaret Sitta akiwapokea baadhi ya Mabalozi waliomtembelea ofisini kwake leo.
Kikao kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe. Margaret Sitta na Mabalozi wa nchi za Ireland,Uingereza,Sweden,Denmark, Canada , Jumuiya ya Umoja wa Ulaya na wawakilishi kutoka Mashirika ya Kimataifa ya UNFPA na UNIFEM . Katika kikao hicho Mhe. Waziri amewaeleza namna Wizara yake inavyotekeleza masuala mbalimbali yanayohusu Jinsia na Mikakati ya Wizara ya baadae.




You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment