Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa masoko wa Vodacom Efraim Mafuru kulia wakati wa chakula cha mchana ambacho Rais Jakaya aliwaandalia wachezaji Viongozi na wadau mbalimbali wa timu ya taifa Taifa Stars jana Ikulu Taifa Stars inatarajiwa kwenda Ivory Coast mapema mwezi huu kwa ajili ya michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN)
RAIS JAKAYA KIKWETE AIBARIKI TAIFA STARS!!
Posted by
ADMIN
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa masoko wa Vodacom Efraim Mafuru kulia wakati wa chakula cha mchana ambacho Rais Jakaya aliwaandalia wachezaji Viongozi na wadau mbalimbali wa timu ya taifa Taifa Stars jana Ikulu Taifa Stars inatarajiwa kwenda Ivory Coast mapema mwezi huu kwa ajili ya michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN)
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment