RAIS JAKAYA ATOA SOMO KWA THT KISHA AAHIDI KUWAJENGEA STUDIO YA KISASA!!

Rais Jakaya Kikwete ambaye alikuwa mgeni wa Heshima katika Hafla ya Taasisi ya Tanzania House Of Talent (THT) Kushoto akiwa amekaa na mkurugenzi wa taasisi hiyo Bw. Ruge Mutahaba kushoto wakionekana kufuatilia jambo katika hafla hiyo, taasisi hiyo ilitimiza miaka mitatu toka ianzishwe, hafla hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini jana. picha na Abdalla Mrisho wa Grobal Publishers.

Mwanamuziki Rady Jay Dee akiongea katika hafla hiyo Jay Dee ni mmoja wa wanamuziki waliofanikiwa katika fani hiyo ya muziki

Mke wa Mh. Jakaya Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Salma Kikweteb akijipatia chakula kwenye hafla ya taasisi ya Tanzania House of Talent THT ilipotimiza miaka mitatu
Mkurugenzi wa Tanzania House Of Talent Ruge Mutahaba akiongoza wageni katika chakula wakati taasisi hiyo ilipofanya hafla ya kutimiza miaka mitatu kwenye ukumbi wa Karimjee jijini jana

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment