Afisa biashara mkuu wa Benki ya NMB Bw.Bans Nierop akipiga mpira huku katibu mkuu wa TFF akiangali kama ishara ya uzinduzi wa awamu ya tatu katika programu ya kuendeleza watoto kwa mpira wa miguu benki hiyo pia ilikabidhi vifaa mbalimbali vya michezo kwa shirikisho la mpira wa miguu TFF uzinduzi huo ulifanyika katika viwanja vya Gymkana jijini jana
\\ Meneja masoko wa benki ya NMB Bw. Imani Kajula akiwa ameshika mpira pamoja na watoto mara baada ya benki hiyo kukabidhi vifaa kwa Shirikisho la mpira TFF kwa ajili ya programu ya awamu ya tatu ya kuendeleza mpira kwa watoto wadogo katika Viwanja vya Gymkana Jana


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment