WANAMUZIKI KUFAIDIKA NA CELLULANT


Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Cellulant Tanzania Bw Jide Harisson akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo itakayojihusisha na uuzaji wa milio ya simu za mkononi kwa kutumia nyimbo za wanamuziki wa hapa nyumbani jana 25/09/2008 kwenye Hotel ya Southern Sun jijini

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment