Msemaji mkuu wa kampuni ya Cellulnt Bw. Khamis Dacota akielezea jambo kwa wageni waalikwa katika uzinduzi wa kampuni hiyo itakayojihusisha na uuzaji wa milio ya simu za mkononi kwa kutumia nyimbo za wasanii wa hapa nchini kampuni hiyo ipo katika nchi kadhaa za Afrika kama Nigeria, Ghana, Kenya Uganda na sasa Tanzania uzinduzi huo ulifanyika kwenye Hotel ya Southern Sun Jijini Jana 25/09/2008

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment