TWANGA PEPETA WAJIFUA VIKALI!

Kundi la Afrcan Stars Twanga Pepeta liko kwenye mazoezi makali kwa ajili ya kuingia studio kurekadi albam yao hivi karibuni akizungumza na FULLSHANGWE katibu wa Bendi hiyo Abuu Semhando amesema tayari wana nyimbo nne ambazo wanafanyia mazoezi vikali nyimbo hizo ni Sumu ya Mapenzi mtunzi (Chokoraa), Shida ni Darasa (Chaz Baba), Nazi haivunji jiwe (Thabit Abdull) na Naisha iliyotugwa na (Saleh kupaza) wanatarajia kurekodi katika studio yao ya Aset Records iliyoko Mbezi katika picha kuanzia kushoto ni Victor Mkambi, Chokoraa,Chaz Baba na Jannet Isinika

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment