MASTAA KIBAO DHAHABU RECORDS!
Mkurugenzi mtendaji wa studio ya Dhahabu Records Dully Sykes amesema hivi sasa wasanii wengi maarufu katika muziki wa Bongo Fleva Wamevutiwa na ubora wa studio yake na wamejitokeza kwa wingi kwenda kurekodi katika Studio zake zilizoko Tabata wasani ambao wamesharekodi mpaka sasa ni Josse Chamelion kutoka Uganda,Chid Benz,Chege, Mh. Temba, Mwana FA na kundi la TMK Wanaume Family katika picha ni Dully Sykes kulia na Chege

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment