SIKU SIMBA WA YUDA ALIPORUDI KUNDINI!


Nawaambieni wana simba mimi nilionewa tu nimefanya kazi kwa uwezo wangu wote na akili yangu yote huku "nikipewa Raha na Mke wangu" mwaka jana kila nilipoongoza msafara wa simba kwa ajili ya mechi za ligi kuu nilirudi na pointi tatu Mwana Kaduguda katibu mkuu wa klabu ya Simba akilonga mbele ya kutano mkuu.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment