HII NI SAIZI YA HASHEEM THABIT!


Mbaga Mwambona mmoja wa viongozi wa shirikisho la mpira wa kikapu nchini akionyesha moja ya aina ya kiatu kinachotumiwa na wachezaji wa mpira huo katika maazimisho ya siku ya michezo nchini iliyofanyika jumapili 21/8/2008 katika viwanja vya mnazi mmoja.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment