LATOYA LYAKURWA USO KWA USO NA WAANDISHI


Aliyekuwa Mshiriki wa BigBrother 111 Latoya Lyakurwa kati akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika katika Hotel ya Southen Sun leo 24/09/2008 mara baada ya kurejea nyumbani kuliani meneja masoko wa Multchoice Furaha Samalu na kushoto ni Meneja huduma Ronald Sherukindo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment